• About Us
  • Blog No.1 Kwa Habari za Michezo na Burudani
  • Contact Us
  • Privacy Policy
Saturday, December 9, 2023
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
No Result
View All Result

WAKATI TAARIFA ZA ‘VIJIWENI’ ZIKISEMA KOCHA SIMBA ANAWACHUKIA CHAMA NA PHIRI…KUMBE UKWELI WA MAMBO UKO HIVI

Chikao by Chikao
August 30, 2022
in KITAIFA
0 0
Share on FacebookShare on WhatsappShare on Telegram

Kocha Mkuu wa Simba, Zoran Maki, ameufurahia muunganiko wake wa safu ya ushambuliaji inayoongozwa na Clatous Chama, Augustine Okrah na Moses Phiri huku akisema kuwa licha ya kutocheza kwa muda mrefu wakiwa pamoja lakini kuna matunda makubwa yanaanza kuonekana walipocheza pamoja.

Okrah na Phiri wote kwa pamoja ni maingizo mapya katika kikosi cha Simba huku Chama yeye akiwa mzoefu ndani ya kikosi hicho, japo wote wakicheza kwa maelewano makubwa ambapo wote wamefanikiwa kuifungia Simba katika michezo miwili ya ligi iliyopita.

Kocha Maki alisema kuwa amefurahi kuona muunganiko mzuri wa washambuliaji hao ambao kwa pamoja licha ya kutocheza kwa muda mrefu lakini kuna maelewano mazuri ambayo yamesababisha timu kupata ushindi huku akiamini kuwa huko mbeleni wakizoeana vizuri basi wataipatia Simba mafanikio makubwa sana.

“Ni wachezaji ambao wameonyesha kuwa na muunganiko mzuri na maelewano mazuri licha ya kucheza kwa muda mfupi kwa pamoja ndani ya Simba, naamini wakikaa kwa pamoja, kuna muunganiko mkubwa tutaupata kutoka kwao, tayari unaona kila mmoja amefunga na kutengeneza nafasi nzuri na mimi ndio jambo ninalolihitaji kutoka kwao kwa manufaa ya timu,” alisema kocha huyo.

THIS POST IS POSTED IN SOKA LEO AND APPEAR IN THIS APP
ShareSendShare
Previous Post

KUHUSU ISHU YA KURUDI TENA BONGO….NIYONZIMA AANIKA JINSI VIGOGO WA SOKA BONGO WANAVYOMPAPATIKIA

Next Post

AUDIO: ACHEZAJI WA STARS WAKATI MWINGINE KUJITOA

Related Posts

ihefu
KITAIFA

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally
KITAIFA

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
lomalisa
KITAIFA

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Simba chama
KITAIFA

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023
Load More

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Here

No Result
View All Result
ihefu

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
Pogba

POGBA KUKABILIANA NA KIFUNGO CHA MIAKA 4

December 8, 2023
lomalisa

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Anza siku yako kimichezo kwakupitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanaspoti leo tarehe 8 December 2023, Pitia vichwa vya habari na ujipatie nakala yako leo.

TUNAANZIA HAPA!, GAMONDI MZUKA,MATAJIRI WASHTUA – MWANASPOTI LEO

December 8, 2023
Simba chama

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023

Msimamo wa Ligi Kuu

SOKALEO

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

  • Home
  • Privacy Policy
  • Contact Us
  • About Us

No Result
View All Result
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In