Home KITAIFA ALLY MAYAY TEMBELE, APEWA KITENGO HIKI KIKUBWA SERIKALINI

ALLY MAYAY TEMBELE, APEWA KITENGO HIKI KIKUBWA SERIKALINI

0

GWIJI wa Taifa Stars na mchambuzi wa Azam TV, Bwana Ally Mayay Tembele ameteuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo nchini kwenye Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.

HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YETU YA SOKALEO >>BONYEZA HAPA<<< KUIDOWNLOAD PLAYSTORE

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here