KUKAMILISHA usajili wa nyota Tuisila Kisinda ambaye ni kiungo kunaongeza nguvu kwenye kikosi hicho kwenye mechi za ushindani.
Huenda Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi akaamua kuanza na nyota wake wapya amoja na wale ambao walikuwa na kikosi hicho kwa msimu uliopita wa 2022/23 kwenye mchezo wake mmoja wa ligi ama kitaifa.
Nyota hao 11 wanaweza kuwa namna hii:-
Diarra Djigui
Djuma Shaban
Dickson Job
Yannick Bangala
Joyce Lomalisa
Feitoto
SureBoy
Tuisila Kisinda
Aziz KI
Bernard Morisson
Fiston Mayele
THIS POST IS POSTED IN SOKA LEO AND APPEAR IN THIS APP
HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YETU YA SOKALEO >>BONYEZA HAPA<<< KUIDOWNLOAD PLAYSTORE