• About Us
  • Blog No.1 Kwa Habari za Michezo na Burudani
  • Contact Us
  • Privacy Policy
Saturday, December 9, 2023
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
No Result
View All Result

KUMBE MAYAY ALISHTUKIZWA UBOSI

Chikao by Chikao
September 21, 2022
in KITAIFA
0 0
Share on FacebookShare on WhatsappShare on Telegram

LEGEND wa soka Bongo, Ally Maya Tembele amebainisha kuwa taarifa za kuteuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Tanzania zilimfikia kwa kustukizwa na hakuwa na tetesi za kuwa atapewa nafasi hiyo.

Septemba 20 Mayay aliteuliwa kuchukua nafasi ya Yusuph Singo aliyepangiwa majukumu mengine.
Mayay alibainisha hayo alipokuwa mubashara kwenye kipindi cha Krosi Dongo kinachorushwa kila siku kupitia +255 Global Radio na Global TV.

Mayay amesema:”Kiukweli sina taarifa, wewe ndiye unanipa ‘breaking news’ hii sina taarifa kabisa na ninakosa hata jambo la kuongea na kuzipokea pongezi hizo ambazo unanipa, Imenishtua sana habari hii unayonipa.

“Sikuwa na tetesi na sikuwahi kugusiwa kuwa nafikiriwa kupewa nafasi hiyo kubwa ya uongozi ya masuala ya uongozi wa masuala ya michezo nchini. Lakini naweza kusema asante kwa nafasi hiyo kama kweli kwa sababu ni jambo kubwa kwangu hata kama nimeteuliwa kwa kushtukiza,” alisema Mayay.

ShareSendShare
Previous Post

MASTAA YANGA WAOGELEA MAMILION…KINA KISINDA PEKEE WANAKULA ZAIDI YA MILIONI MIA NNE..MGUNDA ATIA UBABE SIMBA

Next Post

WAZAWA SIMBA WANSTAHILI PONGEZI KWA WALICHOKIFANYA

Related Posts

ihefu
KITAIFA

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally
KITAIFA

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
lomalisa
KITAIFA

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Simba chama
KITAIFA

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023
Load More

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Here

No Result
View All Result
ihefu

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
Pogba

POGBA KUKABILIANA NA KIFUNGO CHA MIAKA 4

December 8, 2023
lomalisa

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Anza siku yako kimichezo kwakupitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanaspoti leo tarehe 8 December 2023, Pitia vichwa vya habari na ujipatie nakala yako leo.

TUNAANZIA HAPA!, GAMONDI MZUKA,MATAJIRI WASHTUA – MWANASPOTI LEO

December 8, 2023
Simba chama

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023

Msimamo wa Ligi Kuu

SOKALEO

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

  • Home
  • Privacy Policy
  • Contact Us
  • About Us

No Result
View All Result
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In