• About Us
  • Blog No.1 Kwa Habari za Michezo na Burudani
  • Contact Us
  • Privacy Policy
Saturday, December 9, 2023
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
No Result
View All Result

MCHONGO WA BARBARA KUULA CAF UMEKAA HIVI

Chikao by Chikao
September 22, 2022
in KITAIFA
0 0
Share on FacebookShare on WhatsappShare on Telegram

Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba (C.E.O), Barbara Gonzalez ametajwa katika orodha kama makamu rais wa Kamati ya CAF ya maandalizi ya mashindano ya vilabu na usimamizi wa mfumo wa Leseni za klabu kuanzia mwaka huu mpaka 2024.

Barbara ni Mwanamke pekee kwenye orodha hiyo chini ya Rais Ahmed Yahya ambaye pia ni Rais wa Shirikisho la Soka Nchini Mauritania.

Hatua hiyo ya Mtendaji mkuu huyo wa Simba SC kupata nafasi ya uongozi kwenye moja ya Kamati ya Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) ni hatua nyingine ya Simba SC na Tanzania kwa ujumla kuendelea kuvuka mipaka na kufahamika Kimataifa.

Tags: Blog za MichezoHabari za MichezoSimba SC
ShareSendShare
Previous Post

JAMBO LA MGUNDA LATIKI MSIMBAZI…KUSHUSHA MAFUNDI KUMSAIDIA KAZI…KISINDA KUTESTI MITAMBO YANGA

Next Post

MWAKINYO AANZA KUANIKA MAPYA KUHUSU ISHU YA KUPIGWA NA MZUNGU

Related Posts

ihefu
KITAIFA

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally
KITAIFA

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
lomalisa
KITAIFA

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Simba chama
KITAIFA

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023
Load More

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Here

No Result
View All Result
ihefu

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
Pogba

POGBA KUKABILIANA NA KIFUNGO CHA MIAKA 4

December 8, 2023
lomalisa

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Anza siku yako kimichezo kwakupitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanaspoti leo tarehe 8 December 2023, Pitia vichwa vya habari na ujipatie nakala yako leo.

TUNAANZIA HAPA!, GAMONDI MZUKA,MATAJIRI WASHTUA – MWANASPOTI LEO

December 8, 2023
Simba chama

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023

Msimamo wa Ligi Kuu

SOKALEO

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

  • Home
  • Privacy Policy
  • Contact Us
  • About Us

No Result
View All Result
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In