• About Us
  • Blog No.1 Kwa Habari za Michezo na Burudani
  • Contact Us
  • Privacy Policy
Saturday, December 9, 2023
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
No Result
View All Result

MKUDE AHARIBU DILI LA MILIONI ISHIRINI KWA TZ PRISONS

Chikao by Chikao
September 15, 2022
in KITAIFA
0 0
Share on FacebookShare on WhatsappShare on Telegram

Wekundu wa Msimbazi, Klabu ya Simba SC imeibuka na alama tatu katika mchezo mgumu mbele ya maafande wa Tanzania Prison Jijini Mbeya.

Mchezo huo wa Ligi Kuu Tanzania Bara umepigwa jioni ya jana katika Uwanja wa Sokoine na Simba kuibuka na ushindi mwembamba wa goli 1-0.

Goli pekee la ushindi la Simba limefungwa na Kiungo Jonas Mkude dakika ya 86 akimaliza mpira wa kichwa uliopigwa na Kibu Denis.

Ushindi huo wa Simba unaifanya kusogea kileleni mwa msimamo wa Ligi wakiwa na alama 10 sawa na Yanga huku kila timu ikiwa na magoli 6.

Prison wamejikuta wakimaliza pungufu baada ya mchezaji wao mmoja kuoneshwa kadi nyekundu

Pamoja na kufungwa na Simba, Pia Prisons wamajikuta wakitiliwa mchanga kwenye ‘tongwa’ yao mara baada ya kujikuta wakikosa pia ahadi ya pesa zaidi ya milioni ishirini ambazo walihaidiwa na wadhamini wao wapya endapo wangepata matokeo.

Huku kwa upande wa Simba, ukiwa ni ushinidi muhimu zaidi kwao haswa Kocha Mgunda ambaye huu ni ushindi wake wa pili toka akabidhiwe kukaimu nafasi ya kocha mkuu.

Tags: Blog za MichezoHabari za MichezoSimba SCTZ Prisons FC
ShareSendShare
Previous Post

BOSI SIMBA ACHOCHEA VITA YA PHIRI NA MAYELE….MGUNDA APEWA MIKOBA WAKIVUNJA MWIKO KWA TZ PRISONS

Next Post

DUH!! KWA HILI KISINDA NDIO BASI TENA YANGA

Related Posts

ihefu
KITAIFA

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally
KITAIFA

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
lomalisa
KITAIFA

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Simba chama
KITAIFA

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023
Load More

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Here

No Result
View All Result
ihefu

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
Pogba

POGBA KUKABILIANA NA KIFUNGO CHA MIAKA 4

December 8, 2023
lomalisa

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Anza siku yako kimichezo kwakupitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanaspoti leo tarehe 8 December 2023, Pitia vichwa vya habari na ujipatie nakala yako leo.

TUNAANZIA HAPA!, GAMONDI MZUKA,MATAJIRI WASHTUA – MWANASPOTI LEO

December 8, 2023
Simba chama

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023

Msimamo wa Ligi Kuu

SOKALEO

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

  • Home
  • Privacy Policy
  • Contact Us
  • About Us

No Result
View All Result
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In