• About Us
  • Blog No.1 Kwa Habari za Michezo na Burudani
  • Contact Us
  • Privacy Policy
Saturday, December 9, 2023
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
No Result
View All Result

AZAM FC YATUA SALAMA LIBYA, KUKIPIGA DHIDI YA AL AKHDAR

Chikao by Chikao
October 7, 2022
in KIMATAIFA, KITAIFA
0 0
Share on FacebookShare on WhatsappShare on Telegram

Kikosi cha Azam FC kimewasili salama nchini Benghazi-Libya kwa ajili ya mchezo wa Mkondo wa Kwanza wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika dhidi ya wenyeji wao Al Akhdar.

Azam FC kesho Jumamosi (Oktoba 08) itashuka katika dimba Omar Al-Mukhtar majira ya saa mbili usiku kwa saa za Afrika Mashariki, ikiwa na matumaini ya kupambana na kupata ushindi ugenini, kabla ya kurudi nyumbani kwa mchezo wa Mkondo wa Pili.

Kabla ya kuondoka nchini jana Alhamis (Oktoba 06), Kocha Mkuu wa Azam FC Denis Lavagne alisema kazi kubwa wanayokwenda kuifanya Libya ni kupambana ili kupata matokeo, ambayo anaamini yatakisaidia kikosi chake kuelekea mchezo wa Mkondo wa Pili utakaopigwa mwishoni mwa juma lijalo Azam Complex-Chamazi, Dar es salaam.

Kocha huyo aliyewahi kucheza fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka 2008 akiinoa Cotton Sports ya Cameroon na 2021 alipoifikisha JS Kabaiyle ya Algeria fainali ya Kombe la Shirikisho alieleza kulijua vyema soka la Afrika na kuwasoma Al Akhdar, hivyo atatumia uzoefu wake kwenye mchezo wa Jumamosi (Oktoba 08).

“Tutahakikisha tunapambana ugenini dhidi ya wenyeji wetu Al Akhdar, najua mchezo hautakua rahisi kwa sababu soka la Afrika limegubikwa na mambo mengi ya ndani na nje ya Uwanja, lakini kazi inayotupeleka Libya ni kupambana na kupata matokeo.”

“Naamini mambo yakitunyookea ugenini, tukirudi hapa tutakuwa na nafasi nzuri ya kumalizia pale tutakapoishia ugenini, nimewaandaa vizuri wachezaji wangu kuelekea mchezo wetu dhidi ya Al Akhdar, nasisitiza tutapambana na kupata matokeo ugenini.” alisema kocha huyo

Tags: Azam FC
ShareSendShare
Previous Post

YANGA KAMBINI KUANZA KAZI KIBABE

Next Post

MASKINI IHEFU MTIHANI MZITO MBELE GIZA

Related Posts

ihefu
KITAIFA

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally
KITAIFA

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
Pogba
KIMATAIFA

POGBA KUKABILIANA NA KIFUNGO CHA MIAKA 4

December 8, 2023
lomalisa
KITAIFA

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Load More

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Here

No Result
View All Result
ihefu

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
Pogba

POGBA KUKABILIANA NA KIFUNGO CHA MIAKA 4

December 8, 2023
lomalisa

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Anza siku yako kimichezo kwakupitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanaspoti leo tarehe 8 December 2023, Pitia vichwa vya habari na ujipatie nakala yako leo.

TUNAANZIA HAPA!, GAMONDI MZUKA,MATAJIRI WASHTUA – MWANASPOTI LEO

December 8, 2023
Simba chama

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023

Msimamo wa Ligi Kuu

SOKALEO

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

  • Home
  • Privacy Policy
  • Contact Us
  • About Us

No Result
View All Result
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In