Home KIMATAIFA HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHO MINYANA NA WAANGOLA

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHO MINYANA NA WAANGOLA

0

Klabu ya Simba kesho Jumamosi alfajiri kitaondoka kuwafuata wapinzani wao De Agosto kutoka Angola hii ni katika mchezo wa Kimafaifa CAF.

Simba imetambulisha jeshi la wachezaji 24 ambao watasafiri kesho Jumamosi ili kwenda kukipiga katika mchezo unaofuata wa kimataifa.

HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YETU YA SOKALEO >>BONYEZA HAPA<<< KUIDOWNLOAD PLAYSTORE

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here