• About Us
  • Blog No.1 Kwa Habari za Michezo na Burudani
  • Contact Us
  • Privacy Policy
Saturday, December 9, 2023
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
No Result
View All Result

KIUNGO WA YANGA AZIZ KI KUIKOSA RUVU SHOOTING

Chikao by Chikao
October 2, 2022
in KITAIFA
0 0
Share on FacebookShare on WhatsappShare on Telegram

KIUNGO wa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi raia wa Tunisia, Stephane Aziz KI anatarajiwa kuukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting.

Nyota huyo hayupo kambini na wachezaji wengine ambao wanajiaandaa na mechi hizo kutokana na kuwa kwenye majukumu ya timu ya taifa ya Burkina Faso.

Anatarajiwa kuripoti kambini siku ya Jumatatu, Oktoba 3,2022 kutokana na changamoto za Covid 19 aliyoipata akiwa na timu yake ya Taifa.

Aziz Ki alikuwepo kwenye kikosi cha Burkina Faso kilichocheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Comoros uliopigwa Septemba 27, 2022, kwenye Uwanja wa Père Jégo, Jijini Casablanca, Morocco.

Kwa taratibu za afya nchini Morocco wageni hupimwa COVID 19 kila baada ya siku tatu na Aziz Ki ni miongoni mwa wachezaji watatu wa Burkina Faso waliokutwa na maambukizi ya Corona baada ya kipimo hiko kufanyika baada ya mchezo.

Uongozi wa Yanga umefanya jitihada za kuwasiliana na chama cha soka cha Burkina Faso na kupata taarifa kuwa Aziz KI atafanyiwa vipimo vingine na kama mambo yakiwa mazuri atajiandaa na safari ya kurejea Tanzania.

Tags: Habari za MichezoYanga SC
ShareSendShare
Previous Post

KISINDA AJIBEBESHA MZIGO CAF….BANDA, SAKHO ‘OUT’ SIMBA SC..BOSI AFUNGUKA KILA KITU

Next Post

SUALA LA MZUNGU WA SIMBA LIWE SOMO KWA WENGINE

Related Posts

ihefu
KITAIFA

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally
KITAIFA

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
lomalisa
KITAIFA

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Simba chama
KITAIFA

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023
Load More

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Here

No Result
View All Result
ihefu

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
Pogba

POGBA KUKABILIANA NA KIFUNGO CHA MIAKA 4

December 8, 2023
lomalisa

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Anza siku yako kimichezo kwakupitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanaspoti leo tarehe 8 December 2023, Pitia vichwa vya habari na ujipatie nakala yako leo.

TUNAANZIA HAPA!, GAMONDI MZUKA,MATAJIRI WASHTUA – MWANASPOTI LEO

December 8, 2023
Simba chama

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023

Msimamo wa Ligi Kuu

SOKALEO

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

  • Home
  • Privacy Policy
  • Contact Us
  • About Us

No Result
View All Result
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In