Sababu kubwa ya kuukosa mchezo wa leo ni matatizo ya kifamilia ambayo anakabiliwa nayo.
Mbali na Yondani pia staa mwingine Ibrahim Seleman huyu aliumia kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Geita Gold, Hemed Kivuyo.
“Kelvin Yondan ana matatizo ya kifamilia ambayo alipata msiba, hivyo hataweza kucheza mchezo huo na Ibrahim Seleman yeye aliumia,”.
Mchezo uliopita wa ligi, Geita Gold ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji.