Home KITAIFA NABI NA LOMALISA NI VICHEKO TU YANGA

NABI NA LOMALISA NI VICHEKO TU YANGA

0

Kiwango alichokionyesha beki wa kushoto wa Yanga, Joyce Lomalisa katika mchezo dhidi ya Ruvu Shooting, kimemkosha kocha wake Nasreddine Nabi na kusema anatarajia makubwa zaidi kutoka kwa Mkongomani huyo.

“Haya yalikuwa mazingira mapya hivyo alihitaji muda kuzoea na kujua namna ya kucheza na wenzake, ni mchezaji mzuri ambaye naamini anaweza kutoa mchango mkubwa zaidi kwenye kikosi chetu, alicheza vizuri kiukweli.

“Naamini kuwa tutaendelea kuona mazuri kutoka kwake, siku hizi mabeki wa pembeni wamekuwa na mchango mkubwa kwenye upatikanaji wa matokeo, wanawajibika kushambulia na kuzuia,” alisema Nabi.

HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YETU YA SOKALEO >>BONYEZA HAPA<<< KUIDOWNLOAD PLAYSTORE

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here