Home KITAIFA WAKATI AKIWA HAKUBALIKI BONGO, MAMBO YAZIDI KUMNYOOKEA SALAMBA

WAKATI AKIWA HAKUBALIKI BONGO, MAMBO YAZIDI KUMNYOOKEA SALAMBA

0

Nyota wa Tanzania Adam Salamba amesajiliwa na klabu ya Ghazl El Mahalla ya Misri kwa mkataba wa miaka miwili.


Salamba anajiunga na Ghazl El Mahalla akitokea JS Soura inayoshiriki Ligi Kuu ya Algeria.


Salamba amepita vilabu vya Lipuli FC, Simba SC, Al- Jahra na Namungo FC.

HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YETU YA SOKALEO >>BONYEZA HAPA<<< KUIDOWNLOAD PLAYSTORE

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here