• About Us
  • Blog No.1 Kwa Habari za Michezo na Burudani
  • Contact Us
  • Privacy Policy
Saturday, December 9, 2023
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
No Result
View All Result

ZA NDAANI KABISA: OUATTARA KUTEMWA ILI KUPISHA WAWILI SIMBA

Chikao by Chikao
October 17, 2022
in TETESI ZA USAJILI
0 0
Share on FacebookShare on WhatsappShare on Telegram

MABOSI wa Simba wamepanga kuongeza majembe mawili mapya dirisha dogo, huku beki wa kati, Mohamed Ouattara akihesabiwa siku kabla kuonyeshwa mlango wa kutokea.

Za Ndaani Kabisa, zinasema Simba inataka kuleta straika mkali wa kutupia zaidi ya Moses Phiri ambaye kiasili ni kiungo mshambuliaji ili kuiongezea nguvu timu, huku nafasi nyingine ikiwa ni beki wa pembeni na nafasi hizo zitapatikana kwa kupunguza nyota wa kigeni akiwamo Ouattara baada ya awali Dejan Georgijevic kujiondoa mwenyewe mwishoni mwa mwezi uliopita.

Za Ndaani Kabisa zinasema mabosi wa Simba wamepanga kufanya maamuzi magumu dhidi ya beki huyo aliyesajiliwa kutoka Al Hilal ya Sudan aliyesajiliwa kwa shinikizo la Kocha Zoran Maki aliyeitumikia timu hiyo kwa siku 67 kabla ya kutimka kwenda Al Ittihad ya Misri.

Inalezwa Ouattara anaweza kutemwa kwenye dirisha dogo ili Simba kupata nafasi ya kusajili mchezaji wa kigeni kama malengo yao na sababu za kumtema ni kushindwa kupata nafasi ya kucheza kikosi cha kwanza kama ilivyokuwa wakati kocha Maki.

Kutokana na kushindwa kupata nafasi ya kucheza kikosi cha kwanza mbele ya Joash Onyango, Henock Inonga na muda mwingine Kennedy Juma, mabosi wanataka kutumia dirisha dogo litakalofungwa Januari kumpiga chini.

Awali beki huyo alimchomoa Onyango kikosini chini ya Zoran, kiasi cha Mkenya huyo kukimbilia TFF kutaka avunjiwe mkataba ili akakipige Singida Big Stars, lakini kuondoka kwa kocha huyo, kulileta afueni kwa beki huyo kisha Outtara sasa kusugua benchi tangu alipopata majeraha.

Tags: Simba SC
ShareSendShare
Previous Post

TANZIA: MTOTO WA ALI KAMWE AFARIKI DUNIA

Next Post

BARUA FUPI KUTOKA KWA IBENGE KWENDA KWA YANGA

Related Posts

tetesi za soka
TETESI ZA USAJILI

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO ALHAMIS 07-12-2023

December 7, 2023
simba
KITAIFA

SIMBA SC WASHTUKIA ISHU YA BALEKE KUTAKA KUSEPA

November 22, 2023
Simba
KITAIFA

VIONGOZI WA SIMBA KUMLETA MWAMBA HUYU KUCHUKUA MIKOBA YA ROBERTINHO

November 20, 2023
Benchikha 
KITAIFA

KOCHA MBABE WA YANGA ATAJWA SIMBA

November 16, 2023
Load More

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Here

No Result
View All Result
ihefu

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
Pogba

POGBA KUKABILIANA NA KIFUNGO CHA MIAKA 4

December 8, 2023
lomalisa

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Anza siku yako kimichezo kwakupitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanaspoti leo tarehe 8 December 2023, Pitia vichwa vya habari na ujipatie nakala yako leo.

TUNAANZIA HAPA!, GAMONDI MZUKA,MATAJIRI WASHTUA – MWANASPOTI LEO

December 8, 2023
Simba chama

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023

Msimamo wa Ligi Kuu

SOKALEO

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

  • Home
  • Privacy Policy
  • Contact Us
  • About Us

No Result
View All Result
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In