• About Us
  • Blog No.1 Kwa Habari za Michezo na Burudani
  • Contact Us
  • Privacy Policy
Saturday, December 9, 2023
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
No Result
View All Result

CR 7 KUVUNJIWA MKATABA MAN U

Chikao by Chikao
November 16, 2022
in KIMATAIFA
0 0
Share on FacebookShare on WhatsappShare on Telegram

UONGOZI wa Manchester United umeweka wazi kuwa uko tayari kuvunja mkataba wa staa wao raia wa Ureno, Cristiano Ronaldo.

Sababu hiyo inakuja kutokana na staa huyo kuikosoa timu hiyo kupitia mahojiano ya moja kwa moja ya kipindi cha Talk TV cha mwandishi, Piers Morgan.

Kwenye kipindi hicho Ronaldo alitoa tathmini nzito kuhusu Manchester United huku akiweka wazi kuwa hamheshimu kocha wake, Erik ten Hag.

Akizungumza kuhusu hilo rafiki wa karibu wa Ronaldo, Rio Ferdinand alisema:”Huwezi kuteteta kile kilichotokea, sioni kama kuna njia yoyote ya kurudi, sihisi kama klabu itamrudisha na wala sidhani kama yeye mwenyewe anataka kurudi. Naamini hii yote imetengenezwa ili aondoke,”.

Uongozi wa United ulitoa taarifa rasmi ya sakata hilo iliyoeleza:”Kwa sasa lengo letu kuu linabaki kuwa katika maandalizi ya nusu ya pili ya msimu kuendeleza kasi, imani na umoja unaojengwa kati ya wachezaji, meneja,wafanyakazi na mashabiki,”

ShareSendShare
Previous Post

HII HAPA RATIBA YA LIGI KUU BARA

Next Post

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMATANO (16.11.2022)

Related Posts

Pogba
KIMATAIFA

POGBA KUKABILIANA NA KIFUNGO CHA MIAKA 4

December 8, 2023
Pacome
KIMATAIFA

PACOME ASHUSHA PRESHA YANGA, AITAKA ROBO FAINALI CAF

December 7, 2023
kocha wydad
KIMATAIFA

KOCHA WYDAD HALI SI SHWARI TENA

December 4, 2023
simba
KIMATAIFA

SIMBA YAAMBULIA SARE TENA UGENINI

December 2, 2023
Load More

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Here

No Result
View All Result
ihefu

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
Pogba

POGBA KUKABILIANA NA KIFUNGO CHA MIAKA 4

December 8, 2023
lomalisa

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Anza siku yako kimichezo kwakupitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanaspoti leo tarehe 8 December 2023, Pitia vichwa vya habari na ujipatie nakala yako leo.

TUNAANZIA HAPA!, GAMONDI MZUKA,MATAJIRI WASHTUA – MWANASPOTI LEO

December 8, 2023
Simba chama

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023

Msimamo wa Ligi Kuu

SOKALEO

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

  • Home
  • Privacy Policy
  • Contact Us
  • About Us

No Result
View All Result
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In