• About Us
  • Blog No.1 Kwa Habari za Michezo na Burudani
  • Contact Us
  • Privacy Policy
Saturday, December 9, 2023
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
No Result
View All Result

KISA SIMBA NA YANGA WADHAMINI LIGI KUU WAIBUKA NA HOJA MPYA

Chikao by Chikao
November 14, 2022
in KITAIFA
0 0
Share on FacebookShare on WhatsappShare on Telegram

Mkurugenzi wa fedha na utawala wa NBC ambao ni wadhamini wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Waziri Barnabas amesema imefika wakati wa kuifanya dabi ya Kariakoo kuwa na thamani zaidi ya kutazama tu dakika 90.

Amesema dabi ya Kariakoo inavutia maelfu ya mashabiki duniani hivyo haipaswi kuishia ndani ya dakika 90 za uwanjani bali Shirikisho (TFF) na klabu husika zitengeneze utaratibu ambao wageni wanaokuja kutazama dabi hiyo watafurahia ikiwamo kutembelea vivutio vya utalii.

Amesema mbali na mchezo huo dabi nyingine ndani ya Ligi Kuu ikiwamo Mzizima na Mbeya derby zinapaswa kupewa thamani ili kuongeza ushindani na mvuto kwenye mashindano hayo.

“Tuzipe hadhi dabi zetu kuongeza watazamaji kuanzia Kariakoo, Mzizima na Mbeya tuongeze ushindani,”

“Soweto debry ni kubwa sana watu hawaendi tu kutazama mpira bali kufanya utalii, tufanye hivyo tuitumie dabi kwa mambo chanya na kuvutia watu wengi watamani kuja kwenye mechi hii,” amesema Barnabas.

Amesema wameandaa utaratibu wa kutoa mabasi kwa timu za Ligi Kuu kwa mkopo ambapo ameziomba kuandaa maandiko ambayo yatawezesha kupatikana mabasi hayo kwani kwa sasa wameanza na Coastal Union na Shirikisho la Soka.

“Tunajivunia kwamba sisi ni sehemu ya mafanikio ya soka la Tanzania na bado tupo sana, tumekuwa benki ya kwanza kutoa bima kwa wachezaji, benchi la ufundi na familia zao,” amesema.

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia akizungumzia thamani ya Dabi amesema amepokea ushauri huo ambao wataufanyia kazi huku akiwashukuru kwa kuendelea kuunga mkono maendeleo ya soka nchini

ShareSendShare
Previous Post

KARIA: LIGI BONGO HAITASIMAMA KISA KOMBE LA DUNIA

Next Post

KINACHOITESA SIMBA HIKI HAPA, WAANDAA SAPRAZI YA KIBABE, NABI AFUNGUKA KILICHOMKUTA MAYELE… MWANASPOTI LEO

Related Posts

ihefu
KITAIFA

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally
KITAIFA

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
lomalisa
KITAIFA

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Simba chama
KITAIFA

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023
Load More

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Here

No Result
View All Result
ihefu

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
Pogba

POGBA KUKABILIANA NA KIFUNGO CHA MIAKA 4

December 8, 2023
lomalisa

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Anza siku yako kimichezo kwakupitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanaspoti leo tarehe 8 December 2023, Pitia vichwa vya habari na ujipatie nakala yako leo.

TUNAANZIA HAPA!, GAMONDI MZUKA,MATAJIRI WASHTUA – MWANASPOTI LEO

December 8, 2023
Simba chama

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023

Msimamo wa Ligi Kuu

SOKALEO

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

  • Home
  • Privacy Policy
  • Contact Us
  • About Us

No Result
View All Result
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In