Home KITAIFA NABI: WACHEZAJI WOTE WAPO TAYARI KIMATAIFA

NABI: WACHEZAJI WOTE WAPO TAYARI KIMATAIFA

0

Kocha amesema:”Wachezaji wako tayari na wameahidi kupambana, tunaomba sapoti kwa mashabiki wetu kujitokeza kwa wingi, nguvu yao ni muhimu sana kwenye mchezo wetu wa kesho.

“Kila mmoja anataka kuona tunapata matokeo hilo lipo wazi nasi tunahitaji kufanya vizuri kikubwa ni kila mmoja kucheza kwa kujiamini na kufuata maelekezo kwani mchezo wa mpira ni tofauti na michezo mingine.

“Club Africain wana timu nzuri na Wachezaji wenye uzoefu pamoja na Wachezaji chipukizi. Ni wazuri kwenye mipira ya kufa na mashambulizi ya haraka, pamoja na kwamba tunahitaji matokeo mazuri nyumbani pia tutacheza kwa tahadhari tusiruhusu goli”

HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YETU YA SOKALEO >>BONYEZA HAPA<<< KUIDOWNLOAD PLAYSTORE

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here