• About Us
  • Blog No.1 Kwa Habari za Michezo na Burudani
  • Contact Us
  • Privacy Policy
Saturday, December 9, 2023
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
No Result
View All Result

UFARANSA HAO 16 BORA KOMBE LA DUNIA

Chikao by Chikao
November 27, 2022
in KIMATAIFA
0 0
Share on FacebookShare on WhatsappShare on Telegram

MABINGWA watetezi wa Kombe la Dunia Ufaransa ni timu ya kwanza kutinga hatua ya 16 kwenye mashindano hayo makubwa nchini Qatar.

Ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Denmark umeipa tiketi timu hiyo kutangulia mbele ikipewa nafasi ya kuendelea kuleta ushindani.

Katika Uwanja wa 974 ambao umejengwa kwa idadi hiyo ya makontena kwa Ufaransa staa wao Kylian Mbappe alipachika mabao yote mawili.

Kwenye kundi D kazi bado inaendelea licha ya Ufanransa kufanikiwa kukata tiketi ya kutinga 16 bora, Denmark ambao wapo nafasi ya tatu huku Tunisia wakiwa nafasi ya nne hawa wana pointi moja na Australia wao wana pointi tatu nafasi ya pili kwa atakayeshinda mchezo wake ana nafasi ya kusonga mbele.

Ni dakika ya 61 na 86 na anafikisha mabao matatu kwenye Kombe la Dunia mwaka huu na lile la Denmark lilipachikwa na Andreas Christensen dakika ya 68.

ShareSendShare
Previous Post

DILI LA UJENZI YANGA LAKAMILIKA…WAPEWA VIBALI VYA KUANZA UJENZI..CCM WABADILI UCHAGUZI SIMBA SC

Next Post

KIMATAIFA MKWANJA SIMBA WAONGEZWA

Related Posts

Pogba
KIMATAIFA

POGBA KUKABILIANA NA KIFUNGO CHA MIAKA 4

December 8, 2023
Pacome
KIMATAIFA

PACOME ASHUSHA PRESHA YANGA, AITAKA ROBO FAINALI CAF

December 7, 2023
kocha wydad
KIMATAIFA

KOCHA WYDAD HALI SI SHWARI TENA

December 4, 2023
simba
KIMATAIFA

SIMBA YAAMBULIA SARE TENA UGENINI

December 2, 2023
Load More

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Here

No Result
View All Result
ihefu

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
Pogba

POGBA KUKABILIANA NA KIFUNGO CHA MIAKA 4

December 8, 2023
lomalisa

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Anza siku yako kimichezo kwakupitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanaspoti leo tarehe 8 December 2023, Pitia vichwa vya habari na ujipatie nakala yako leo.

TUNAANZIA HAPA!, GAMONDI MZUKA,MATAJIRI WASHTUA – MWANASPOTI LEO

December 8, 2023
Simba chama

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023

Msimamo wa Ligi Kuu

SOKALEO

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

  • Home
  • Privacy Policy
  • Contact Us
  • About Us

No Result
View All Result
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In