Home KITAIFA THAMANI YA MANULA NI TSH BILIONI 2.3

THAMANI YA MANULA NI TSH BILIONI 2.3

0

Kumekuwa na tetesi zikiendelea kuwa kipa namba moja wa klabu ya Simba SC, Aishi Salum Manula kusajiliwa na klabu ya Matajiri wa Soka Tanzania Azam Fc.

Ambapo Kwa mujibu wa Jemedari Said Meneja wa Aishi Salum Manula ni kwamba Manula hajasaini mkataba wowote na  Azam FC kama inavyosemekana.

Manula bado ni mchezaji wa Simba SC na kama kuna klabu yoyote inamtaka basi iende Simba thamani yake ni Bil. 2.3

HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YETU YA SOKALEO >>BONYEZA HAPA<<< KUIDOWNLOAD PLAYSTORE

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here