• About Us
  • Blog No.1 Kwa Habari za Michezo na Burudani
  • Contact Us
  • Privacy Policy
Saturday, December 9, 2023
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
No Result
View All Result

MIPANGO MIPYA YA GAMONDI HADHARANI, NABI ATAJWA

Chikao by Chikao
July 29, 2023
in KITAIFA
0 0
Gamondi
Share on FacebookShare on WhatsappShare on Telegram

WAKATI watu wakiwa wanawaza Yanga ya msimu ujao itakuwaje basi fahamu kuwa kila kitu kimekamilika kwenye mipango mipya chini ya Kocha, Miguel Gamondi raia wa Argentina kuelekea msimu ujao.

Gamondi ambaye amechukuwa mikoba ya kocha Nasreddine Nabi aliyeondoka baada ya mkataba wake kumalizika hivyo Muargentina huyo anakabiliwa na kazi kubwa ya kuhakikisha anafanya zaidi ya ilivyokuwa kwa mtangulizi wake.

Yanga chini ya Nabi ilibeba mataji yote ya ndani kwa misimu miwili mfululizo huku ikicheza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.

Tayari Yanga chini ya Gamondi imeshaonekana katika mchezo wa siku ya kilele cha wiki ya Mwananchi ambapo walicheza dhidi ya Kaizer Chiefs kutoka Afrika Kusini na kushinda bao 1-0 lililofungwa na Kennedy Musonda.

Tayari chanzo cha ndani kutoka Yanga kiKinasema kuwa, Kocha Gamondi amewataka wachezaji wote wanaocheza katika nafasi za kiungo wa ushambuliaji, mawinga wa pembeni kuhakikisha kuwa wanafunga mabao mengi, ili kuacha kumtegemea mshambuliaji mmoja pakee katika kufunga mabao.

“Kocha mazoezini mara nyingi amekuwa akiwasisitiza wachezaji ambao wanacheza kuanzia namba 7,8,10 na 11 wawe na uwezo mkubwa wa kufunga na kutengeneza nafasi, anataka msimu ujao kila mchezaji wa mbele afunge mabao ya kutosha ili kumfanya namba 9 asiwe na mzigo mkubwa pekee wa kufunga.

“Ambacho kinaonekana ni kwamba hataki siku ikitokea mshambuliaji wa kati amebanwa basi timu ishindwe kupata mabao, akina Aziz Ki, Pacome Zouzoua na Maxi Mpia ambao wamekuwa wakicheza katika nafasi hizo wamekuwa wakisisitiziwa juu ya kufunga mabao ya kutosha kuanzia mazoezini,” kilisema chanzo hiko.

Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe akizungumzia maandalizi ya kikosi hicho alisema: “Yanga ya msimu ujao tumemuachia kocha wetu Gamondi yeye ndiye anafahamu kila kitu, ni kocha mkubwa na tumemuamini hivyo tunatarajia kuwa na Yanga bora.”

Tags: Yanga SC
ShareSendShare
Previous Post

MORRISON HAPOI KUTOKA YANGA MPAKA NDONDO, ISHU IKO HIVI

Next Post

LUIS MIQUISSONE ATOA AHADI NZITO KWA SIMBA, HUKU AKIWAPA MKWARA HUU YANGA

Related Posts

ihefu
KITAIFA

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally
KITAIFA

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
lomalisa
KITAIFA

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Simba chama
KITAIFA

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023
Load More

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Here

No Result
View All Result
ihefu

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
Pogba

POGBA KUKABILIANA NA KIFUNGO CHA MIAKA 4

December 8, 2023
lomalisa

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Anza siku yako kimichezo kwakupitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanaspoti leo tarehe 8 December 2023, Pitia vichwa vya habari na ujipatie nakala yako leo.

TUNAANZIA HAPA!, GAMONDI MZUKA,MATAJIRI WASHTUA – MWANASPOTI LEO

December 8, 2023
Simba chama

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023

Msimamo wa Ligi Kuu

SOKALEO

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

  • Home
  • Privacy Policy
  • Contact Us
  • About Us

No Result
View All Result
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In