Home TETESI ZA USAJILI MORRISON MAMBO MAZURI KUTUA SINGIDA FOUNTAIN GATE

MORRISON MAMBO MAZURI KUTUA SINGIDA FOUNTAIN GATE

0

Uongozi wa Singida Fountain Gate upo katika hatua nzuri katika mazungumzo ya siri na nyota wa sasa wa Yanga Bernad Morrison

Katika mazungumzo hayo Morrison ameripotiwa kuonesha nia ya kumwaga wino kunako dirisha kubwa la usajili na muda wowote kufuatia kufunguliwa kwa dirisha hilo huenda akatangazwa kama mkulima wa Alizeti

Morrison atasaini mkataba wa mwaka mmoja na chaguo la kuongeza mkataba baada ya kutamatika kwa mkataba wake huku maslahi yake yakitajwa kuongezeka maradufu na yale ya sasa

Ikumbukwe Singida Fountain Gate itashiriki michuano ya kimataifa msimu ujao,hivyo tutegemee lolote katika hili.

Unaipa Singida FG ama Big NO?

HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YETU YA SOKALEO >>BONYEZA HAPA<<< KUIDOWNLOAD PLAYSTORE

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here