• About Us
  • Blog No.1 Kwa Habari za Michezo na Burudani
  • Contact Us
  • Privacy Policy
Saturday, December 9, 2023
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
No Result
View All Result

SIMBA BAADA YA KUMPA THANK YOU SAWADOGO, MAPYA YAIBUKA

Chikao by Chikao
July 15, 2023
in KITAIFA, TETESI ZA USAJILI
0 0
Share on FacebookShare on WhatsappShare on Telegram

SIKU chache tu tangu apewe ‘Thank You’ na klabu ya Simba baada ya kukubaliana kuvunjiwa mkataba wa kuichezea timu hiyo, kiungo mkabaji Ismael Sawadogo ameibua mapya.

Sawadogo alisajiliwa na Simba katika dirisha dogo la usajili akitokea Difaa El Jadida ya Morocco kwa mkataba wa miaka miwili ametumikia miezi sita tu na kupewa mkono wa kwaheri kutokana na kushindwa kuendana na kasi ya timu hiyo baada ya mjaala mrefu kabla ya kuvunjwa kwa mkataba.

Mara baada ya msimu kumalizika mchezaji huyo aliingia makubaliano na Simba ya kuvunja mkataba ambapo kwa mujibu wake ameliambia Mwanaspoti kuwa amelipwa fedha ya mwaka mmoja kwaajili ya kuvunja mkataba na makubaliano ya kulipwa mshahara wa miezi sita iliyobaki.

“Bado nina mkataba wa miezi sita na Simba ambao tulikubaliana kulipana mshahara kila mwezi hadi nitakapomaliza hiyo miezi sita lakini imekuwa tofauti kwani wanakwenda kinyume na makubaliano,” alisema Sewadogo na kuongeza;

“Nawadai mshahara wangu wa mwezi wa sita hawajaniingizia na tayari nimeongea na Mwanasheria wa Simba, Hossea lakini jibu lake ni kwamba nitatumiwa kesho maongezi yalifanyika kabla hawajasafiri kwenda kwenye maandalizi ya msimu mpya.”
Sawadogo alisema hakuishia hapo akafanya juhudi za kumtafuta Mwenyekiti wa timu hiyo, Murtaza Manungu ambaye alimtumia ujumbe kwa meseji hadi jana hakupewa jibu lolote.

“Nimemtumia ujumbe Mwenyekiti pia hajaonyesha ushirikiano kwasababu sijajibiwa hivyo nimemjulisha mwanasheria wangu na kumuachia suala hilo alishughulikie,” alisema Sawadogo na kuongeza;

“Nimeomba kulipwa fedha za miezi mitatu na kuvunjiwa mkataba ili niweze kutafuta timu nyingine lakini hawataki kunipa ushirikiano na mshahara hawanilipi kama makubaliano yalivyokuwa.”

Uongozi wa Simba walitafutwa jana kufafanua jambo hilo ila simu zao ziliita bila majibu.

Tags: Simba SCTetesi za Usajili Simba
ShareSendShare
Previous Post

CHAMA HAAMINI MACHO YAKE, UONGOZI WA SIMBA WAMFANYIA UMAFIA

Next Post

ISHU YA MKATABA WA CHAMA WAVUJA, VIONGOZI WA SIMBA WAHAHA ISHU IKO HIVI

Related Posts

ihefu
KITAIFA

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally
KITAIFA

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
lomalisa
KITAIFA

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Simba chama
KITAIFA

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023
Load More

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Here

No Result
View All Result
ihefu

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
Pogba

POGBA KUKABILIANA NA KIFUNGO CHA MIAKA 4

December 8, 2023
lomalisa

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Anza siku yako kimichezo kwakupitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanaspoti leo tarehe 8 December 2023, Pitia vichwa vya habari na ujipatie nakala yako leo.

TUNAANZIA HAPA!, GAMONDI MZUKA,MATAJIRI WASHTUA – MWANASPOTI LEO

December 8, 2023
Simba chama

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023

Msimamo wa Ligi Kuu

SOKALEO

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

  • Home
  • Privacy Policy
  • Contact Us
  • About Us

No Result
View All Result
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In