• About Us
  • Blog No.1 Kwa Habari za Michezo na Burudani
  • Contact Us
  • Privacy Policy
Saturday, December 9, 2023
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
No Result
View All Result

GAMONDI AFUNGUKA ISHU YA KONKONI KUANZIA BENCHI

Chikao by Chikao
August 26, 2023
in KITAIFA
0 0
gamondi yanga
Share on FacebookShare on WhatsappShare on Telegram

Kocha mkuu wa Klabu ya Young Africans, Miguel Gamondi ametaja sababu za kutomwanzisha kwenye mechi zake mshambuliaji wake mpya Hafiz Konkoni akisema kuwa bado anampika zaidi.

Gamondi amesema kuwa Konkoni ni mshambuliaji tegemeo hivyo lazima amlinde kwa kumuandaa vizuri kisaikolojia, kumuondolea presha kwa kumpa dakika chache kisha baadae akiiva ataanza kumtumia kama atakavyo.

“Ninampa muda mchache Mshambuliaji Hafiz Konkoni kwa sababu ya kumlinda.Mchezaji tegemeo anapaswa kuanza taratibu kama ilivyokuwa kwa Aziz Ki pamoja na Pacome Zouzoua ili kumtolea pressure ya mashabiki na wachambuzi mpaka atakapokuwa fit zaidi.

“Mashabiki na wachambuzi wanaweza ondoa ufanisi wa mchezaji. Taratibu ataingia kikosini na ataanza kucheza kwa dakika nyingi hivi karibuni,” amesema Kocha Miguel Gamondi.

Itakumbukwa kuwa Konkoni ambaye amesajiliwa kutoka Ghana alicheza mchezo wa (1) wa mashindano kwa dakika 8, akaja kucheza mchezo wa pili dakika 10 na dhidi ya KMC alicheza dakika 28 na kufunga bao moja na assist moja.

Tags: Yanga SC
ShareSendShare
Previous Post

AZAM FC YATAJA SABABU YA KUKWAMA KIMATAIFA

Next Post

YANGA WAIKANDA MKONO ASAS DJIBOUT LIGI YA MABINGWA AFRIKA

Related Posts

ihefu
KITAIFA

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally
KITAIFA

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
lomalisa
KITAIFA

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Simba chama
KITAIFA

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023
Load More

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Here

No Result
View All Result
ihefu

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
Pogba

POGBA KUKABILIANA NA KIFUNGO CHA MIAKA 4

December 8, 2023
lomalisa

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Anza siku yako kimichezo kwakupitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanaspoti leo tarehe 8 December 2023, Pitia vichwa vya habari na ujipatie nakala yako leo.

TUNAANZIA HAPA!, GAMONDI MZUKA,MATAJIRI WASHTUA – MWANASPOTI LEO

December 8, 2023
Simba chama

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023

Msimamo wa Ligi Kuu

SOKALEO

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

  • Home
  • Privacy Policy
  • Contact Us
  • About Us

No Result
View All Result
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In