Home KITAIFA MAYELE ATUPA JIWE GIZANI BAADA YA AZAM KUPOKEA KIPIGO DHIDI YA YANGA

MAYELE ATUPA JIWE GIZANI BAADA YA AZAM KUPOKEA KIPIGO DHIDI YA YANGA

0
mayele

Aliekuwa mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele ambae kwa sasa anakipiga katika Klabu ya Pyramids FC ya nchini Misri amewapiga kijembe Azam baada ya kupokea kichapo kutoka kwa Yanga jana Agosti 9 Uwanja wa Mkwakwani.

Kupitia ukurasa wake wa Instagrama Mayele ameposti Picha akiwa GYym anafanya mazoezi na kuandika;

“hakuna kupowa sio Kama wale ukwaju”

HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YETU YA SOKALEO >>BONYEZA HAPA<<< KUIDOWNLOAD PLAYSTORE

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here