Home KITAIFA AZAM, SIMBA KINAUMANA LEO

AZAM, SIMBA KINAUMANA LEO

0

Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea leo Alhamisi, Septemba 21, 2023 kwa michezo miwili kupigwa Dar es Salaam.

‘Wekundu wa Msimbazi’, Simba itakuwa mwenyeji wa ‘Wanamangushi’, Coastal Union ya Tanga kwenye uwanja wa Uhuru wakati ‘Walima Alizeti’ Singida Fountain Gate itakuwa wageni wa ‘Matajiri wa Dar es Salaam’, Azam kwenye uwanja wa Azam Complex.

Katika mchezo mmoja wa ligi hiyo uliofanyika Septemba 20, mabingwa watetezi ‘Timu ya Wananchi’ Yanga imepata ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya ‘Wauaji wa Kusini’, Namungo.

HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YETU YA SOKALEO >>BONYEZA HAPA<<< KUIDOWNLOAD PLAYSTORE

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here