• About Us
  • Blog No.1 Kwa Habari za Michezo na Burudani
  • Contact Us
  • Privacy Policy
Saturday, December 9, 2023
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
No Result
View All Result

MBAPPE HATI HATI KUIVAA NEWCASTLE

Chikao by Chikao
September 25, 2023
in KIMATAIFA
0 0
mbappe
Share on FacebookShare on WhatsappShare on Telegram

MSHAMBULIAJI wa PSG, Kylian Mbappe amepata jeraha la kifundo cha mguu lililomlazimu kufanyiwa mabadiliko katika mchezo wa Ligue 1 dhidi ya Marseille jana.

Mbappe amepata jeraha hilo baada ya kuchezewa rafu na Leonardo Balerdi hivyo kutolewa nje kabla ya mapumziko.

Bado hazijatoka taarifa rasmi za muda gani atakaa nje, ila imeelezwa huenda kuna hatihati kukosa mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Newcastle United Oktoba 4.

Katika mchezo huo PSG iliifunga Marseille mabao 4-0 mabao yalfungwa na Achraf Hakimi, Randal Kolo Muani na mawili ya Goncalo Ramos.

Tags: Paris Saint-Germain FC
ShareSendShare
Previous Post

WABABE KAZINI NA REKODI ZAO MATATA HIZI HAPA

Next Post

MITEGO MIWILI YANGA HII HAPA – MWANASPOTI LEO

Related Posts

Pogba
KIMATAIFA

POGBA KUKABILIANA NA KIFUNGO CHA MIAKA 4

December 8, 2023
Pacome
KIMATAIFA

PACOME ASHUSHA PRESHA YANGA, AITAKA ROBO FAINALI CAF

December 7, 2023
kocha wydad
KIMATAIFA

KOCHA WYDAD HALI SI SHWARI TENA

December 4, 2023
simba
KIMATAIFA

SIMBA YAAMBULIA SARE TENA UGENINI

December 2, 2023
Load More

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Here

No Result
View All Result
ihefu

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
Pogba

POGBA KUKABILIANA NA KIFUNGO CHA MIAKA 4

December 8, 2023
lomalisa

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Anza siku yako kimichezo kwakupitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanaspoti leo tarehe 8 December 2023, Pitia vichwa vya habari na ujipatie nakala yako leo.

TUNAANZIA HAPA!, GAMONDI MZUKA,MATAJIRI WASHTUA – MWANASPOTI LEO

December 8, 2023
Simba chama

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023

Msimamo wa Ligi Kuu

SOKALEO

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

  • Home
  • Privacy Policy
  • Contact Us
  • About Us

No Result
View All Result
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In