Home HABARI ZA AZAM FC LEO BANGALA MAJANGA AZAM FC

BANGALA MAJANGA AZAM FC

0
NI Yannick Bangala kiungo wa Yanga hatakuwa kwenye mchezo ujao wa timu hiyo dhidi ya Coastal Union, Oktoba 6 Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

NI Yannick Bangala kiungo wa Yanga hatakuwa kwenye mchezo ujao wa timu hiyo dhidi ya Coastal Union, Oktoba 6 Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

Bangala amechanika msuli wa nyuma ya paja, kwenye mchezo wa jana Jumanne dhidi ya Dodoma Jiji.

Baada ya mechi hiyo, Bangala alirudi Dar Es Salaam kwa vipimo zaidi, wakati timu ikielekea Tanga kwa ajili ya mchezo dhidi ya Coastal Union, Oktoba 6.

Baada ya vipimo ndiyo itajulikana ukubwa wa tatizo na muda wa matibabu hadi kupona.

HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YETU YA SOKALEO >>BONYEZA HAPA<<< KUIDOWNLOAD PLAYSTORE

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here