• About Us
  • Blog No.1 Kwa Habari za Michezo na Burudani
  • Contact Us
  • Privacy Policy
Saturday, December 9, 2023
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI
No Result
View All Result
SOKALEO
No Result
View All Result

HIKI HAPA NDIO KILICHOMPONZA ROBERTINHO MBELE YA AL AHLY

Chikao by Chikao
October 25, 2023
in KITAIFA
0 0
Robertinho
Share on FacebookShare on WhatsappShare on Telegram

Mchambuzi wa masuala ya soka nchini kutoka East Africa Radio, Samwel Rashid mwenyewe anajiita Wakanda Republic amesema kuwa kilichomgharimu Kocha wa Klabu ya Simba, Robertinho na kusababisha kuondolewa kwenye michuano ya AFL ni kufanya mabadiliko ya haraka baada ya kupata bao la kuongoza.

Simba jana iliondolewa katika michuano hiyo kwa kanuni ya bao la ugenini baada ya kupata sare ya jumla ya mabao 3-3 dhidi ya Al Ahly (kwa maana ya bao 2-2 nyumbani na bao 1-1 ugenini).

“Robertinho aliwahi kujaribu kui-lock mechi, kwa sababu dakika ya 70 unamuingiza mchezaji eneo la ulinzi ambaye ni Kennedy Juma muda ambao timu yako ipo kwenye presha ya kushambuliwa.

“Obviously muda ule Robertinho alienda kui-lock mechi na ndiyo sababu ambayo ilikuja kumpa tabu baada ya Al Ahly kupata goli.

“Kwa sababu kama unamuingiza Kennedy Juma dakika ya 70 mwalimu aliamini ndani ya dakika 20 ambazo zimebaki ataenda kukaba typically akaweka timu kwenye block ya chini.

“Muda huo ndio ambapo Al Ahly wakaja Full Charge wote wakajazana kwenye eneo la Simba na mabeki wao wakasogea juu ili wapate goli,” amesema Wakanda Republic.

ShareSendShare
Previous Post

AZIZI KI ATOA AHADI YA KIBABE YANGA

Next Post

WIZARA YAFAFANUA KUHUSU MAJI YA KWENYE UWANJA WA MKAPA

Related Posts

ihefu
KITAIFA

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally
KITAIFA

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
lomalisa
KITAIFA

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Simba chama
KITAIFA

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023
Load More

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Here

No Result
View All Result
ihefu

MASHUJAA MAMBO SIO MAMBO, HUKU IHEFU NAO WAFUFUKA KIMASIHARA

December 8, 2023
Ahmed Ally

AHMED ALLY: NGOMA IKIWA NGUMU TUPATE ALAMA MOJA TU

December 8, 2023
Pogba

POGBA KUKABILIANA NA KIFUNGO CHA MIAKA 4

December 8, 2023
lomalisa

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

December 8, 2023
Anza siku yako kimichezo kwakupitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanaspoti leo tarehe 8 December 2023, Pitia vichwa vya habari na ujipatie nakala yako leo.

TUNAANZIA HAPA!, GAMONDI MZUKA,MATAJIRI WASHTUA – MWANASPOTI LEO

December 8, 2023
Simba chama

MTEGO WA CHAMA DHIDI YA WYDAD UMEKAA HIVI

December 7, 2023

Msimamo wa Ligi Kuu

SOKALEO

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

  • Home
  • Privacy Policy
  • Contact Us
  • About Us

No Result
View All Result
  • HOME
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • MAGAZETI LEO
  • TETESI ZA USAJILI

© 2023 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In