Home HABARI ZA SIMBA LEO VIDEO: MSIGWA AFUNGUKA KUHUSU MIL 10 ZA KILA GOLI LITAKALOFUNGWA NA SIMBA

VIDEO: MSIGWA AFUNGUKA KUHUSU MIL 10 ZA KILA GOLI LITAKALOFUNGWA NA SIMBA

0
Msigwa simba samia

Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa zawadi ya Sh 10 milioni kwa kila goli litakalofungwa katika mchezo wa African Football League kati ya Simba SC dhidi ya Al Ahly.

Mchezo huo wa ufunguzi utapigwa12:00 jioni dimba la Mkapa.

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa ametoa taarifa hiyo alipozungumza na waandishi wa habari akiwa kata ya Mbagala, Wilaya ya Temeke Mkoa wa Dar es Salaam, ambako Simba wanaendelea na hamasa kuelekea mchezo huo.

HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YETU YA SOKALEO >>BONYEZA HAPA<<< KUIDOWNLOAD PLAYSTORE

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here