Home HABARI ZA YANGA LEO YANGA, AZAM KUPIGWA JUMATATU

YANGA, AZAM KUPIGWA JUMATATU

0
yanga sc

Klabu ya Yanga imethibitisha kuwa mchezo wao wa Ligi Kuu dhidi ya Azam uliopangwa kuchezwa Jumapili umeahirishwa hadi Jumatatu ya Oktoba 23, 2023.

Mchezo huo utapigwa saa 12:30 uwanja wa Azam Complex, Chamazi.

Mabadiliko hayo yanajumuisha pia na mchezo wao dhidi ya Singida Fountain Gate ambao sasa utachezwa Oktoba 27, 12:15 uwanja wa Mkapa Dar es Salaam.

HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YETU YA SOKALEO >>BONYEZA HAPA<<< KUIDOWNLOAD PLAYSTORE

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here