Timu ya Taifa “Taifa Stars” imewasili salama nchini Morocco kwa ajili ya mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Niger utakaochezwa kwenye mji wa Marrakech nchini humo Jumamosi Novemba 18, 2023.
Timu ya Taifa “Taifa Stars” imewasili salama nchini Morocco kwa ajili ya mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Niger utakaochezwa kwenye mji wa Marrakech nchini humo Jumamosi Novemba 18, 2023.
HABARI HIZI ZINAPATIKANA KATIKA APP YETU YA SOKALEO >>BONYEZA HAPA<<< KUIDOWNLOAD PLAYSTORE