mbappe

MBAPPE KUMTOA SALAH LIVERPOOL

Liverpool inaweza kumwachilia Mohamed Salah, msimu ujao ili kufungua njia kwa Kylian Mbappe. Mbappe, mwenye umri wa miaka 24, ameeleza wazi nia yake ya kuondoka...
Simba SC

SIMBA SIO KINYONGE ATUA BOTSWANA KIFALME

Wekundu wa Msimbazi Simba SC tayari wamewasiri nchini Botswana tayari kwa ajili ya kupepetana na Jwaneng Galaxy hapo kesho Desemba 2, 2023. Simba wamewasiri wakiwa...
singida

SINGIDA FOUNTAIN GATE KUKIWASHA NA WAJEDA

HELLO Desemba Mosi Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea kutimua vumbi ambapo leo Desemba Mosi, Uwanja wa Liti dakika 90 za jasho zinatarajiwa kuwa kwa...
Yanga 

BAADA YA KUKOSEKANA KWA MUDA MREFU, BURUDANI INAREJEA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa burudani inarejea mahali pake baada ya kukosekana kwa muda ndani ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Desemba 2 2023 Yanga inatarajiwa kushuka Uwanja wa Mkapa kumenyana na Waarabu...
robertinho yanga

ROBERTINHO AIBUKIA YANGA AMPA GAMONDI MBINU ZA KUIUA AL AHLY

Kikosi cha Yanga kinaendelea na maandalizi ya mchezo wa pili wa makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya Misri, huku...
Mwanaspoti leo

BENCHIKHA ATIKISA KAMBINI – MWANASPOTI LEO

Pitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanaspoti la leo tarehe 1 December 2023, tazama vichwa vya habari na ujipatie nakala yako.
Twiga Stars

WAFCON KUTIMUA VUMBI LEO, TWIGA STARS KUSHUKA DIMBANI

TIMU ya Taifa ya mpira wa miguu ya wanawake (Twiga Stars) leo inashuka dimbani katika mchezo wa kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya...
Al Ahly

AL AHLY KUTUA DAR LEO, MASTAA HAWA WA YANGA NJE YA DIMBA

Ofisa Habari na mawasiliano wa Al Ahly, Gamal Gabr amesema timu hiyo itatua nchini leo na wachezaji 25 huku nyota watatu Taher Mohamed, Antony...
BALEKE SIMBA simba

UONGOZI WAWATULIZA WANASIMBA, MRATIBU ATOA KAULI HII

Mratibu wa Simba, Abbas Ally amesema kitendo cha kubadilishiwa uwanja dhidi ya Jwaneng Galaxy Jumamosi walikishtukia kabla kwa hiyo hakitawatoa mchezoni. Awali walikuwa wacheze...
Mwanaspoti la leo

SIMBA YASHTUKIA ISHU BOTSWANA – MWANASPOTI LEO

Pitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanaspoti la leo tarehe 30 November 2023, tazama vichwa vya habari na ujipatie nakala yako.
mashabiki

VURUGU KWA MASHABIKI MUDA WAKE UMEGOTA MWISHO

MASHABIKI ni muhimu kufika uwanjani kwa ajili ya kushangilia mechi ambazo zinachezwa lakini ni muhimu kuwa makini na kuacha kufanya vurugu kwenye mechi husika. Afya ni muhimu kwa mashabiki ili kuendelea kusukuma gurudumu...
Simba

SIMBA YAYEYUSHA DAKIKA 450 BILA USHINDI

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa, Simba wameandika rekodi yao kwenye anga hilo kwa kukomba dakika 450 sawa na mechi tano bila kuambulia ushindi. Kwenye mechi hizo, mbili ilikuwa ni African Football...
Nzengeli

MAXI NZENGELI, AZIZ KI TAYARI KUWAVAA WAARABU

NYOTA wa Yanga ikiwa ni pamoja na Maxi Nzengeli, Pacome Zouzoah, Zawadi Mauya, Kibwana Shomari wapo kamili kuwavaa Waarabu wa Al Ahly kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga inayonolewa na Kocha...
ligi kuu

USHINDANI KWENYE LIGI KUU BARA UENDELEE

MZUNGUKO wa kwanza bado unaendelea kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Bara. Ikumbukwe kwamba kwa sasa timu nyingi zinapambana kufanya vizuri na kupata matokeo ndani ya uwanja. Kila timu inafanya vizuri ndani...
Mwanaspoti la leo

NIMEWASIKIA: KOCHA MPYA SIMBA AANZA NA MAMBO HAYA – MWANASPOTI LEO

Pitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanaspoti la leo tarehe 29 November 2023, tazama vichwa vya habari na ujipatie nakala yako.

FOLLOW US

3,764FansLike
3,441FollowersFollow
1,365SubscribersSubscribe

POPULAR POSTS